HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 10, 2017

TANZIA

Watoto wa marehemu mzee Raphael Mlondoye Msyaliha wa Mbeya mjini wanasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa mzee Raphael Mlondoye Msyaliha aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 10 Oktoba 2017 katika Hospital ya Rufaa.

Msiba upo nyumbani kwa marehemu Mbeya mjini karibu na hospitali ya Rufaa. Habari ziwafikie watoto wote wa marehemu, wana ukoo wote wa Msyaliha,Shonza,Shura,Mwamlima,Paza,sijabaje,halinga,mgala,ntenga,Ntengwi,Mwashambwa,Njeje na Mwawalo , ndugu wote na jamaa wa marehemu wateja na wadau wote wa Victoria Engeneering.

Mazishi yamepangwa kufanyika Mbozi kijiji cha Igale kata ya Iyula siku ya Alhamis tarehe 12 mwezi wa 10 2017.
Mwenyezi MUNGU ailaze roho ya marehemu baba yetu mahala pema peponi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad