Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na
Walemavu, Jenister Mhagama akizungumza wa wakati wa kushuhudia zoezi la
utiaji saini Mkataba wa hiari kati ya Puma Energy Tanzania na Chama cha
Wafanyakazi (TUICO).
Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti akizungumza na Waandishi wa habari mara baada Puma Energy Tanzania yatiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi TUICO
Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti Akitiliana Saini na Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres huku Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akishuhudia
Afisa utawala wa kampuni ya Puma Energy akizungumza kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama
Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti akibadilishana mkataba na Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres mara baada ya kutiliana Saini Mkataba wa hali bora kazini
Mkuu wa Idara ya Mafuta ya Ndege kutoka kampuni ya Puma Energy, Raymond Tungaraza akifafanua jambo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama
Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres akizungumza na wafanyakazi wa kampuni ya Puma Energy mara baada ya kutiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Tanzania(ATE), Dk Aggrey Mlimuka akizungumza mara baada ya kutiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi na kampuni ya Puma Energy
Sehemu ya Wafanyakazi wa kampuni ya Puma Energy wakifatilia mkutano huo wa mara baada ya kutiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi na kampuni ya Puma Energy
Sehemu ya Wafanyakazi wa kampuni ya Puma Energy wakifatilia mkutano huo wa mara baada ya kutiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi na kampuni ya Puma Energy
Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti akizungumza na Waandishi wa habari mara baada Puma Energy Tanzania yatiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi TUICO
Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti Akitiliana Saini na Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres huku Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama akishuhudia
Afisa utawala wa kampuni ya Puma Energy akizungumza kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama
Meneja Mkuu wa Puma Tanzania, Philippe Corsaletti akibadilishana mkataba na Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres mara baada ya kutiliana Saini Mkataba wa hali bora kazini
Mkuu wa Idara ya Mafuta ya Ndege kutoka kampuni ya Puma Energy, Raymond Tungaraza akifafanua jambo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, ajira na Walemavu, Jenister Mhagama
Kiongozi wa TUICO, Jonathan Peres akizungumza na wafanyakazi wa kampuni ya Puma Energy mara baada ya kutiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Tanzania(ATE), Dk Aggrey Mlimuka akizungumza mara baada ya kutiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi na kampuni ya Puma Energy
Sehemu ya Wafanyakazi wa kampuni ya Puma Energy wakifatilia mkutano huo wa mara baada ya kutiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi na kampuni ya Puma Energy
Sehemu ya Wafanyakazi wa kampuni ya Puma Energy wakifatilia mkutano huo wa mara baada ya kutiliana sahihi mkataba wa hiari pamoja na chama cha wafanyakazi na kampuni ya Puma Energy
No comments:
Post a Comment