Mkurugenzi
wa Kampuni ya Msama Auction Mart, Alex Msama akizungumza na Waandishi
wa habari mara baada ya kukamilisha zoezi la ukamataji wa wezi wa kazi
za sanaa kwa kurudufu bila kibali na kuwauzia watu kwenye simu zao za
mkononi, jambo ambalo ni kinyume cha sheria ya haki miliki na haki
shiriki.
Mkurugenzi
wa Kampuni ya Msama Auction Mart, Alex Msama akiwa amebeba vifaa
vilivyokamatwa ambavyo vinatumika kurudufu kazi za wasanii
Askari wa jeshi la Polisi wakiwa wamemkamata mmoja wa wezi wa kazi za wasanii wanaorudufu kwa kutumia kompyuta eneo la Kariakoo
Askari wa jeshi la Polisi wakiwa wamemkamata mmoja wa wezi wa kazi za wasanii wanaorudufu kwa kutumia kompyuta eneo la Kariakoo
Askari wa jeshi la Polisi wakiwa wamemkamata mmoja wa wezi wa kazi za wasanii wanaorudufu kwa kutumia kompyuta eneo la Kariakoo ambapo Msama SAuction Mart inafanya zoezi la kuwakamata watu wanaorudufu kazi za Wasanii kwa kutumia Kompyuta.
Vijana wa kazi kutoka Msama Auction Mart wakipakia vyombo vinavyo tumika kurudufu kazi za wasanii kinyume cha Sheria.
No comments:
Post a Comment