HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 20, 2017

DC KIGAMBONI AZINDUA MPANGO WA DARMAERT NA VIFAA VYA MAWASILIANO WAKATI WA DHARULA NA MAAFA

 Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa, akikata utepe  kuashiria uzinduzi wa chumba cha Mawasiliano DarMaert na Vifaa vya Mawasiliano wakati wa Dharura na Maafa.
 Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa  akizungumza kwa Niaba ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda wakati wa uzinduzi wa Mpango wa DarMaert na Vifaa vya Mawasiliano wakati wa Dharura na Maafa.
 Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mwongozo wa utendaji kazi wa Uokoaji na Majanga
 Muwakilishi wa Benki ya Dunia, Erick Dikson akizungumza mara baada ya kukabidhi  vifaa kwa tasisi ya Dar Meart kwa ajilya Majanga na uokoaji
Mkurugenzi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brigedia Jenerali Mbazi Msuya akizungumza na kuahidi Kiwanja kwa ajili ya Kikosi cha Zima moto mkoa wa Dar es Salaam na mpango wa DarMaert na ghala kwa ajili ya kuwasaidia katika huduma za majanga.
Katibu tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mbando akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni Rasmi amabye ni mkuu wa Wilaya ya Kigamboni.
Sehemu ya Askari wa Jeshi la Zima Moto waliohudhuria uzinduzi wa mpango wa Dar Maert na Vifaa vya Mawasiliano wakati wa Dharura na Maafa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad