HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 19, 2017

WASHINDI WA AFYABANDO WAPATIKANA KWENYE DROO YA KWANZA DAR ES SALAAM LEO.


Mabalozi wa Nordic Foundation Tanzania Hilary Daudi' Zembwela' na Najma Abdallah wakiwa na Mkaguzi kutoka Bodi ya Taifa ya Michezo ya Kubahatisha, Bakari Maggid aliysimamia zoezi la kuendesha kampeni ya Afyabando kuwapata washindi 10 watakaokabidhiwa kadi za Bima ya afya zenye thamani ya shilingi milioni 1.5 kwa ajili ya matibabu pamoja na familia. Mchezo huo umechzeshwa jijini Dar es Salaam leo Septemba 17 2017.
Balozi wa Nordic Foundation Tanzania Najma Abdallah akiwasiliana na Frank Athanasi Samson Mkulima wa Mkoani Geita baada ya kuibuka mmoja wa washindi 10 watakaokabidhiwa kadi za Bima ya afya zenye thamani ya shilingi milioni 1.5 kwa ajili ya matibabu pamoja na familia, katika droo ya kwanza ya Afyabando mchezo uliochezeshwa jijini Dar es Salaam leo Septemba 17 2017.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad