HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 4, 2017

WAFANYAKAZI WA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) WAAGANA NA MADAKTARI BINGWA WA MOYO KUTOKA NCHINI CHINA

 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya  Magonjwa ya Moyo ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Daktari Bingwa wa upasuaji wa Moyo kutoka China Sun Long wakati wa hafla fupi ya kuwaaga madaktari hao iliyofanyika hivi karibuni. Serikali ya China kila baada ya miaka miwili inatuma madaktari wake kwa ajili ya kufanya kazi ya Matibabu ya Moyo katika Taasisi hiyo.  
 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Magonjwa ya  Moyo ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Daktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo kwa watoto kutoka China Qu Xianfeng wakati wa hafla fupi ya kuwaaga madaktari hao iliyofanyika hivi karibuni. Serikali ya China kila baada ya miaka miwili inatuma madaktari wake kwa ajili ya kufanya kazi ya Matibabu ya Moyo katika Taasisi hiyo.  
 Madaktari bingwa wa Magonjwa ya Moyo kutoka China wakiwa katika picha ya pamoja na  Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Magonjwa ya  Moyo ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Peter Kisenge mara baada ya kuwakabidhi  zawadi wakati wa hafla fupi ya kuwaaga iliyofanyika hivi karibuni. Serikali ya China kila baada ya miaka miwili inatuma madaktari wake kwa ajili ya kufanya kazi ya Matibabu ya Moyo katika Taasisi hiyo.  
 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Magonjwa ya  Moyo ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Peter Kisenge akimkabidhi zawadi Daktari Bingwa wa chumba cha wagonjwa walioko katika uangalizi maalum (ICU) kutoka China Xie Weifeng  wakati wa hafla fupi ya kuwaaga madaktari hao iliyofanyika hivi karibuni. Serikali ya China kila baada ya miaka miwili inatuma madaktari wake kwa ajili ya kufanya kazi ya Matibabu ya Moyo katika Taasisi hiyo.  
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Daktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo kwa watoto kutoka China Qu Xianfeng (hayupo pichani) wakati akizungumza katika hafla fupi ya kuwaaga madaktari hao iliyofanyika hivi karibuni. Serikali ya China kila baada ya miaka miwili inatuma madaktari wake kwa ajili ya kufanya kazi ya Matibabu ya Moyo katika Taasisi hiyo.  

Picha na JKCI

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad