HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 22, 2017

TCRA YAWAPIGA MSASA WAMILIKI WA MITANDAO (ONLINE MEDIA)

 Mkurugenzi wa Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),  Frederick Ntobi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Warsha juu ya matumizi ya vyombo vya habari Mtandaoni (Online Media) iliyowashirikisha wanachama wa Tanzania Bloggers  Network (TBN), kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA; KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Wajumbe wa Kamati ya Maudhui ya TCRA  wakihudhuria warsha hiyo
 Sehemu ya wamiliki wa mitandao mbalimbali wakihudhuria warsha hiyo ya siku moja



 Mwenyekiti wa TBN, Joachim Mushi (kulia) akiwa meza kuu.  Anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa TCRA,  Mhandisi James Kilaba, Mwenyekiti wa Kamti ya Maudhui ya TCRA, Bibi Msoka na James Kilimba ambaye ni Mkurugebnzi wa Bodi ya TCRA.

 Mablogga wakiwa makinini kusikiliza wakati wa warsha hiyo. Kutoka kushoto ni Kranz Mwantebele,  Adam Mzee na Dotto Mwaibale







No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad