HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 20, 2017

KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA KIFO CHA RAMADHANI NYAMKA


Familia ya Ramadhani  Hassan Nyamka wanakumbuka kifo cha baba yao mpendwa Ramadhani Nyamka aliyefariki Septemba 20 1997.

Ni miaka 2o toka kuondoka kwa Ramadhani Nyamka ambaye aliwahi kuwa Mwemyekiti wa Chama Mkoa Dar es Salaam na Meya wa Jiji la Dar es salaam mwaka 1978-82.

Unakumbukwa na watoto wako Zuberi, Ibrahim, Sophia, Halima, Shami, Mariam, Maendeleo, Shaban na Mikidadi,  wake zao Mama Shami na Mama Mzee pamoja na wajukuu zako Zainab, Umrathi, Nuru, Salum, Hafidha, Sara na familia nzima kwa ujumla.

Tunazidi kukuombea kwa Allah azidi kukupa kauli thabiti na makazi mema Akhera.

Allahuma Amin.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad