HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 22, 2017

KAMISHNA WA UTAWALA POLISI MAKAO MAKUU AKIFUNGA MAFUNZO UTAWALA

 Naibu Kamishna wa utawala polisi makao makuu DCP Leonard .l. Paulo alie katikati akiongozana na wenyeji wake mkuu wa chuo cha polisi kidatu baada ya kuwasili chuoni hapo ACP, Zarau .H Mpangule alie mkono wa wa kushoto na alieko kulia ni Kamanda wa polisi Msitafu DCP  Venance Tossi.  Picha na Jeremia.
 Kamanda wa polisi Msitafu DCP Venance Tossi  wakijadili jambo na Naibu Kamishna wa utawala polisi makao makuu DCP Leonard .l. Paul.
Naibu Kamishna wa utawala polisi makao makuu DCP Leonard .l. Paul akilakiwa au kupokelewa kwa shangwe na  wakanguzi waliokuwa wanaitimu mafunzo yao katika chuo cha polisi Kidatu. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad