HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 12, 2017

Baada ya kimya cha muda mrefu, DJCHOKA kurudi kitofauti

Baada ya kimya cha muda mrefu, DJCHOKA (@Chokadj) anarudi na wimbo mpya #BilaSABABU ambao umewashirikisha wasanii wawili kutoka BONGO HIP HOP (@izzo_biznesss & @kingzilla_tz) chini ya HITMAKER Prod @dupy_beatz kutoka @uprisemusic_empire. Ni tarehe 19 September 2017

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad