Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mhe. Mwigulu Nchemba (mb) kulia,
akimsikiliza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (aliyesimama) muda
mfupi alipowasili katika chuo cha Polisi Moshi CCP kilichopo mkoani Kilimanjaro,
kwa ajili ya kuzindua rasmi ujenzi wa upanuzi wa madarasa na mabweni ya
wanafunzi yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi zaidi ya mia nane (800) kwa
wakati mmoja ujenzi unaofanywa kwa msaada wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa
China.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mhe. Mwigulu Nchemba (mb) wane kulia,
akiwa ameongozana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (watatu
kulia), Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. LU Youqing, pamoja na viongozi
wengine wakielekea kwenye eneo la uzinduzi wa ujenzi wa upanuzi wa madarasa
na mabweni ya wanafunzi yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi zaidi ya mia nane
(800) kwa wakati mmoja ujenzi unaofanywa kwa msaada wa Serikali ya Jamhuri
ya Watu wa China.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akiweka saini mara baada ya
kuwasili katika viwanja vya chuo cha Polisi Moshi CCP mkoani Kilimanjaro, kwa
ajili ya kuzindua rasmi ujenzi wa upanuzi wa madarasa na mabweni ya wanafunzi
yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi zaidi ya mia nane (800) kwa wakati mmoja
ujenzi unaofanywa kwa msaada wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China.
Baadhi ya maofisa na askari wa Jeshi la Polisi wakimsikiliza Mkuu wa Jeshi la Polisi
Nchini (IGP) Simon Sirro (hayupo Pichani) wakati wa tukio la uzindua rasmi ujenzi
wa upanuzi wa madarasa na mabweni ya wanafunzi yenye uwezo wa kuchukua
wanafunzi zaidi ya mia nane (800) kwa wakati mmoja ujenzi unaofanywa kwa
msaada wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, katika chuo cha Polisi Moshi
kilichopo mkoani Kilimanjaro.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mhe. Mwigulu Nchemba (mb, Mkuu wa Jeshi
la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, na Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. LU
Youqing, pamoja na viongozi wengine wakizindua rasmi ujenzi wa upanuzi wa
madarasa na mabweni ya wanafunzi yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi zaidi
ya mia nane (800) kwa wakati mmoja ujenzi unaofanywa kwa msaada wa Serikali
ya Jamhuri ya Watu wa China, katika chuo cha Polisi Moshi CCP kilichopo mkoani
Kilimanjaro.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mhe. Mwigulu Nchemba (mb), Mkuu wa Jeshi
la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, na Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. LU
Youqing, pamoja na viongozi wengine wakiwa katika picha baada ya kuzindua
rasmi ujenzi wa upanuzi wa madarasa na mabweni ya wanafunzi yenye uwezo wa
kuchukua wanafunzi zaidi ya mia nane (800) kwa wakati mmoja ujenzi
unaofanywa kwa msaada wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, katika Chuo
cha Polisi Moshi CCP kilichopo mkoani Kilimanjaro. Picha na Jeshi la Polisi.
No comments:
Post a Comment