HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 2, 2017

Updates: Ajali ya basi yaua wawili Babati

 Basi la kampuni ya Sharon lililokuwa litatoka Dodoma kwenda Arusha, limepinduka eneo la mabanzini mjini Babati na kusababisha vifo vya watu wawili huku wengine wakijeruhiwa.
Majeruhi wa ajarili hiyo wamepelekwa hospitali ya Mrara mjini Babati.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara akizungumza na gazeti hili, Francis Massawe akizungumza juu ya ajali hiyo alisema kondakta na mtoto mdogo ndiyo walifariki.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad