HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 3, 2017

MPIRA WA KIKAPU MKOA WA DAR ES SALAAM WAPATA WADHAMINI

 Mwenyekiti wa Mpira wa kikapu mkoa wa Dar es Salaam Bw. Okare Emesi (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu udhamini waliopata toka kampuni ya Startimes na Sibuka mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Mkurugenzi wa Masoko wa chama hicho Bw. Peter Mpangala na kushoto ni Afisa Mahusiano toka Startimes Bw. Samwel Gisayi.
Mkurugenzi wa Masoko wa chama hicho Bw. Peter Mpangala (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu udhamini waliopata toka kampuni ya Startimes na Sibuka mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Okare Emesi na kushoto ni Afisa Mahusiano toka Startimes Bw. Samwel Gisayi.

Picha Eliphace Marwa - Maelezo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad