HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 28, 2017

KAMATI YA BAJETI YA BUNGE YA BAJETI YATEMBELEA MIRADI YA MAXCOM AFRICA KATIKA VITUO VYA DART.

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Max Com Africa Juma Rajabu  akimuonyesha Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Bajeti, Hawa Ghasia namna ya  mfumo wa kutumia kadi unavyo fanya kazi katika vituo vya Mabasi yaendayo haraka katika kituo cha Mabasi ya haraka cha Feri jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Bajeti, Hawa Ghasia, akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa haabari juu ya ziara yao ya kutembelea mradi wa ukusanyaji fedha katika kituo cha Feri cha mabasi yaendayo Haraka
 Mbunge wa Ileje na mjumbe wa Kamati ya Bajeti, Janeth Mbene akipanchi tiketi katika kituo cha mabasi yaendayo haraka kilichopo Feri Jijini Dar es Salaam wakati wajumbe wa kamati hiyo ilipotembelea miradi ya Maxcom Africa
 Mbunge wa Rombo , Joseph Selasini akipanchi tiketi katika kituo cha mabasi yaendayo haraka kilichopo Feri Jijini Dar es Salaam wakati wajumbe wa kamati hiyo ilipotembelea miradi ya Maxcom Africa
 Mkuu wa Kitengo cha Biashara Kutoka Maxmalipo Bw. Deogratius Lazari Akifafanua Jambo kwa wabunge  wa kamati ya Bajeti walipotembelea Mradi wa ukusanyaji mapato wa Max Malipo katika Vituo vya Mabasi ya Endayo Haraka
 Kaimu Mtendaji Mkuu DART, Ronald Lwakatare, akifafanua Jambo kwa wabunge  wa kamati ya Bajeti walipotembelea Mradi wa ukusanyaji mapato wa Max Malipo katika Vituo vya Mabasi ya Endayo Haraka.
 Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania na Wajumbe wa kamati ya Bajeti wakiangalia miundombinu ya mradi wa mabasi yaendayo harakajijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad