HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 21, 2017

EFM YAZINDUA TAMASHA LA MZIKI MNENE KWA MIKOA SITA NCHINI.


 Meneja Mkuu wa EFM Radio na Tv E , Denis Busulwa (SEBO), Akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Tamasha Mziki Mnene litakalo fanyika katika mikoa sita nchini  Sanjari na Kampeni ya Nje Ndani ambayo itarusha vipindi vya Radio kutoka mitaani .
 Afisa Uhusiano na Meneja Matukio wa Efm Radion Tv E , Neema Ukurasi akizungumza juu ya Tamasha la Muziki Mnene litakavyoweza kufika katika mikoa yote ambayo EFM Radio inasikika kwa sasa
 Waandishi wa Habari na Baadhi ya wafanayakazi kutoka Efm Radio na Tv E wakifatilia mkutano wa uzinduzi wa Tamasha la Mziki Mnene.
 Meneja Masoko kutoka kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Biko, Good Hope Heaven , akizungumza namna kampuni yao ilivyoweza kudhamini Tamasha la Muziki Mnene kupitia bahati nasibu ya Nguvu ya Buku.
 Baadhi ya Watangazaji wa EFM Radio na Tv E Wakifatilia uzinduzi wa Tamasha la Mziki Mnene.
Balozi wa kampuni ya Noah Funishing na Mtangazaji wa Efm Radio, Swebe Santana  akizungumza juu ya kampuni hiyo ilivyojikita katika kudhamini  EFM Joging itakyofanyika katika mikoa yote sita ambapo Tamasha la Muziki Mnene litafanyika.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad