Mwenyekiti
wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada Mhe. Yasmin
Ratansi (wa kwanza kushoto) akisisitiza jambo wakati Wajumbe wa Chama
hicho kutoka Canada walipokutana na Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Chama
cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Tanzania katika Ofisi Ndogo za
Bunge Jijini Dar es Salaam mapema leo.
Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya
Madola Tawi la Tanzania Dkt Raphael Chegeni (katikati) akiongoza kikao
wakati Wajumbe wa Kamati hiyo walipokutana na Wajumbe wa Chama cha
Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada katika Ofisi Ndogo za Bunge
Jijini Dar es Salaam mapema leo.
Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada
ambae pia ni Mbunge, Mhe. Yasmin Ratansi akimkabidhi zawadi Mwenyekiti
wa Kamati Tendaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la
Tanzania Dkt Raphael Chegeni mara baada ya Wajumbe wa pande zote mbili
kuzungumza mapema leo katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
Wajumbe
wa Kamati Tendaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la
Tanzania katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Chama cha Mabunge ya
Jumuiya ya Madola Tawi la Canada mara baada ya mazungumzo katika Ofisi
Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
(Picha na Ofisi ya Bunge)
No comments:
Post a Comment