HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 6, 2017

WAZIRI MWIJAGE:WATANZANIA PENDENI BIDHAA ZA NGOZI ZINAZOZALISHWA TANZANIA.

 .Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage  akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Biashara na Uhusiano wa Kiwanda cha Bora  Sylivery  Buyaga (wa pili kulia)  juu ya kiwanda  hicho kinavyofanya kazi.jijini Dar es Salaam.
 .Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage akionyesha ubora wa kiatu kinachotengenezwa na kiwanda cha Bora.jijini Dares Salaam.
Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage akitembelea kiwanda cha Cha Bora ambacho kilibinafsishwa  na sasa kimeanza uzalishaji wa bidhaa ya ngozi utaokafanya kozi kupata soko.jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad