HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 7, 2017

WANANCHI WAKIPATA HUDUMA KATIKA MAONESHO YA 41 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA

 Waziri wa Mambo ya Nje na  Kikanda,  Dkt Augustine Mahiga akipata maelezo katika banda la TFDA  alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na  Kikanda, Dkt  Augustine Mahiga  akisaini kitabu cha wageni  katika  banda la TFDA  alipotembelea  maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam. 
 Wananchi wakipata huduma katika banda la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa ajili ya ulipaji wa kodi ya majengo katika  maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad