Waziri wa Mambo ya Nje na Kikanda, Dkt Augustine Mahiga akipata maelezo katika banda la TFDA alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Kikanda, Dkt Augustine Mahiga akisaini kitabu cha wageni katika banda la TFDA alipotembelea maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipata huduma katika banda la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa ajili ya ulipaji wa kodi ya majengo katika maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment