HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 7, 2017

VYUO VIKUU VYA NJE YA NCHI VYAENDELEA KUOMBA MIKATABA GLOBAL EDUCATION LINK (GEL)

 Mkurugenzi wa Global Education Link (GEL), ambao ni Mawakala Wakubwa wa Vyuo Vikuu vya Nje ya Nchi, Abdulmalik Mollel akisaini mkataba wa makubaliano na Afisa Udahili wa Chuo cha Sri Venkteswara cha nchini India cha Uhandisi na Teknolojia , Bheems Neyulu hafla hiyo ilifanyika katika ofisi za viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya kuendelea na kujiandaa katika maandalizi ya mahitaji ya rasilmali watu katika sekta ya viwanda nchini .
 Mkurugenzi wa Global Education Link (GEL) Abdulmalik Mollel akibadilishana hati ya makubaliano na Afisa Udahili wa Chuo cha Sri Venkteswara cha nchini India , Bheems Neyulu hafla hiyo iliyofanyika katika ofisi za viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam..
 Mkurugenzi wa Global Education Link (GEL) Abdulmalik Mollel akionyesha mfumo wa udahili wa Vyuo Vikuu vya Nje wa Kielektroniki kwa wananchi waliokuwa wakipata huduma katika ofisi hiyo, katika maonesho ya 41 biashara ya Kimataifa katika viwanja vya sabasaba.

Maafisa wa Global Education Link wakiendelea kutoa huduma katika maonesho ya 41 biashara ya Kimataifa katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad