HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 7, 2017

WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MAADHIMISHO YA 41 YA MAONESHO YA SABASABA


 Wananchi wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye maadhimisho ya 41 ya biashara ya kimataifa katika Viwanja vya Sabasaba leo Jijini Dar es salaam
Farasi awa kivutio kwa watoto wengi wajitokeza kupiga picha.
 Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpakani wakiwa wamekuja kutembelea maadhimisho ya 41 ya biashara ya kimataifa katika Viwanja vya Sabasaba leo Jijini Dar es salaam

 Wananchi wakiwa wametembelea banda la Mifugo na uvuvi na kuangalia namna samaki aina ya kambale wanavyofugwa maadhimisho ya 41 ya biashara ya kimataifa katika Viwanja vya Sabasaba leo Jijini Dar es salaam.Picha  na Team Michuzi Sabasaba.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad