HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 26, 2017

WANAFUNZI WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MAONESHO YA ELIMU YA JUU VIWANJA VYA MNAZI MMOJA

Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Chuo Kikuu Dar es salaam wakifuatilia namna ya kudahili kozi mbalimbali za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika Global Education Likn wakifuatilia namna ya kudahili nje ya nchi katika vyou  mbalimbal kwenye ikiwa ni maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Chuo cha Ardhi wakifuatilia namna ya kudahili  kozi mbalimbali za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Dar es salaam Institute of Technology wakipata maelezo mbalimbali ya namna ya wanafunzi wa chuo hicho wanavyotengeneza vifaa kazi mbalimbali pamoja kutoa nafasi kwa wanafunzi kudahili  kozi mbalimbali za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Chuo cha Mzumbe wakifuatilia namna ya kudahili  kozi mbalimbali za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wakipata maelezo ya  namna ya kudahili  kozi za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad