Habari zilizonifikia hivi punde zinaeleza kwamba aliyekuwa Jaji wa Mahakama kuu, Jaji Upendo Msuya (pichani), amefariki dunia alfajiri ya leo nyumbani kwake Tegeta jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. Msiba upo nyumbani kwa marehemu Tegeta.
Wednesday, July 19, 2017
TANZIA: JAJI WA MAHAKAMA KUU MHE. UPENDO MSUYA AFARIKI DUNIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment