HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 19, 2017

TANZIA: JAJI WA MAHAKAMA KUU MHE. UPENDO MSUYA AFARIKI DUNIA

Habari zilizonifikia hivi punde zinaeleza kwamba aliyekuwa Jaji wa Mahakama kuu, Jaji Upendo Msuya (pichani), amefariki dunia alfajiri ya leo nyumbani kwake Tegeta jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. Msiba upo nyumbani kwa marehemu Tegeta.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad