HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 7, 2017

NHIF YAWAPONGEZA WANANCHI WANAOENDELEA KUJITOKEZA KUPAYA KADI ZA BIMA YA AFYA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bw. Mpoki Alisubisya akipata maelezo ya jinsi wanachama wa NHIF wanavyohakikiwa wakati wakienda kupata huduma katika vituo vya afya. Maelezo yanatolewa na Afisa mtaalam wa mambo ya Tehama wa NHIF Bw. Maleko katika maonesho ya Sabasaba yanayoendelea huku Kaimu Mkurugenzi wa Fedha wa NHIF Bw. Muganga akifuatilia.
 Kaimu Mkurugenzi wa Masoko wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Angela Mziray akimuelekeza mwananchi aliyejitokeza kwenye banda la Bima ya Afya kwa ajili ya kujipatia kadi ya Bima katika maadhimisho ya maonesho ya 41 ya kimataifa ya biashara Sabasaba leo Jijini Dar es salaam.

 Wananchi wakiendelea kuoata huduma ya Bima ya Afya katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika maadhimisho ya maonesho ya 41 ya kimataifa ya biashara Sabasaba leo Jijini Dar es salaam.
Maafisa wa Mfuko wa Taifa ya Bima ya Afya (NHIF) wakiwa wanendelea na kazi ya kusajili wananchi wanaojitokeza kupata kadi za bima ya Afya katika maadhimisho ya maonesho ya 41 ya kimataifa ya biashara Sabasaba leo Jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad