HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 12, 2017

EVERTON YATUA JIJINI DAR LEO, KUKIPIGA NA GOR MAHIA, TAIFA KESHO

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akisalimiana na Kiungo Mshambuliaji wa timu ya Everton ya nchini Uingereza, Wayne Rooney muda mfupi baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam asubuhi ya leo. Timu ya Everton ikiwa na kikosi kamili cha wachezaji 46 pamoja na viongozi na kocha mkuu wa timu hiyo Ronald Koeman, Kimewasili mapema leo tayari wa Mchezo wao na Mabingwa wa SpotiPesa Gor Mahia ya nchini Kenya, unaotarajiwa kuchezwa kesho katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.  

ifuatayo ni orodha 
1 – Jordan Pickford
2 – Morgan Schneiderlin
3 – Leighton Baines
4 – Michael Keane
5 – Ashley Williams
6 – Phil Jagielka
7 – Yannick Bolasie
8 – Ross Barkley
9 – Sandro Ramirez
10 – Wayne Rooney
11 – Kevin Mirallas
12 - Aaron Lennon
16 – James McCarthy
17 – Idrissa Gana Gueye
18 – Gareth Barry
20 – Davy Klaassen
21 – Muhamed Besic
22 – Maarten Stekelenburg
23 – Seamus Coleman
25 – Ramiro Funes Mori
26 – Tom Davies
29 – Dominic Calvert-Lewin
30 – Mason Holgate
31 – Ademola Lookman
33 – Joel Robles
34 – Oumar Niasse
38 - Matthew Pennington
43 - Jonjoe Kenny
46 - Joe Williams
Mshambuliaji wa timu ya Everton Wayne Rooney pamoja na wachezaji wenzake wa wakielekea kwenye basi tayari kwa safari ya kuelekea hotelini kwa mapumziko mafupi. 
Wachezaji wa Everton wakiingia basini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad