HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 19, 2017

WATUMUSHI OFISI YA MWANASHERIA MKUU WAZINGATIE MAADILI YA UTUMISHI

Naibu Mwanasheria wa Serikali Bw. Gerson Mdemu akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake wa kazi na watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali  Tabora wakati wa wiki ya Utumishi wa Umma. Katika Mkutano huo Naibu  Mwanasheria Mkuu, amesisitiza watumishi wa Ofisi yake kuzingatia misingi na maadili ya  Utumishi.  Kushoto kwa Naibu Mwanasheria Mkuu ni Wakili wa Serikali Mfawidhi Bw. Jackson Bulashi na kulia ni  Bw. Benny Kabungo Mkurugenzi wa Utumishi na Raslimali  Watu.

Sehemu ya  Watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria  Mkuu wa Serikali Tabora wakimsikiliza Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali  wakati wa kikao  kazi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho wa wiki ya  Utumishi wa Umma. Katika kuadhimisha wiki ya Utumishi wa Umma Ofisi ya  Mwanasheria Mkuu ( 16-23) ilitenga siku mbili za kukutana na wadau na watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad