HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 16, 2017

UCHAGUZI TFF: IMANI MADEGA ACHUKUA FOMU YA URAIS WA TFF




Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya soka ya Yanga Seneta Imani  Maugila Madega


Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.



Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya soka ya Yanga Seneta Imani  Maugila Madega amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania Urais wa Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF.

Madega anakua ni mtu wa pili kuchukua fomu ya Urais baada ya Rais anaemaliza muda wake Jamal Malinzi kuchukua mapema asubuhi ya leo.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad