HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 23, 2017

PICHA: YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO

 Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Azzan Zungu  akiongoza kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dk Ashatu Kijaji  akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Naibu Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Mhe.Eng Stella Manyanya akijibu maswali mbalimbali ya wabunge  katika kikao cha hamsini na nne  cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mwigulu Nchemba akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama  akijadili jambo na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dk Ashatu Kijaji  katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Prof Jumanne Maghembe akiteta jambo na Mbunge wa Viti Maalum Bi Martha Mlata   katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 22, 2017.
 Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi  wakifuatilia jambo na Mbunge wa Nkasi kaskazini Mhe. Ally Kessy  katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
Naibu Waziri Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhe. Isack Kamwelwe  akimskiliza Mbunge wa Kasulu Mjini Mhe. Daniel Nsanzugwako  katika kikao cha hamsini na nne  cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.

Picha Zote na Daudi Manongi- Dodoma MAELEZO, DODOMA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad