Duka la viwalo vikali hapa mjini la J&M Virgo limetoa bonge la ofa la punguzo la bei ya bidhaa zake kwa wateja wake katika kipindi hiki cha Mwezi wa Ramadhan na kuelekea Sikukuu ya Idd El Fitr, hivyo kuwahi kwako mapema ndio kufaidi punguzo hilo, maana bei sasa ni karibu na bure kabisa. Hivyo watembelee Dukani kwao pale Mikocheni B usoni kabisa mwa Kiota cha Safari Canival karibu ya Daraja la Mlamakuwa au waweza kuwapigia simu kwa namba hii 0715 534 530, Pia uweza wafuate katika ukurasa wao KWA KUBOFYA HAPA
Magauni ya mitoko.
Skuna za haja.
Moka za kisasa kwa kinaBaba.
Mikoba.
Suti.
No comments:
Post a Comment