HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 14, 2017

FILAMU YA KISOGO YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM.

  Msanii wa Filamu nchini Salim Ahmed maarufu Gabo Zigamba (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa filamu yake fupi ya Kisogo mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Afisa Mawasiliano wa Kampuni ya Sarafu Media Bw. Myovela Mfwaisa. 
 Afisa Habari wa Kampuni ya Sarafu Media Bw. Myovela Mfwaisa (katikati) kushoto akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa filamu fupi ya Kisogo mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kushoto Msanii wa filamu hiyo Bw. Salim Ahmed maarufu Gabo Zigamba na kulia ni Mtaalam wa TEHAMA toka Kampuni ya Uhondo Bw. Amon John. 
 Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia filamu fupi ya Kisogo wakati ikizinduliwa na msanii wa filamu hiyo Salim Ahmed maarufu Gabo Zigamba.

Picha zote na Eliphace Marwa - Maelezo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad