Barabara ya Dunga iliyopo Konondoni Biafra ikiwa imejaa maji kutokana mvua ambayo iliyonyesha wiki moja iliyopita sasa mafundi wakiendelea na utoaji maji katika barabara hiyo jijini Dar es Saam. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
Wananchi wakikwepa dimbwi la maji katika barabara iliyopo Konondoni Biafra jijini Dar es Salaam.
Gari ikipita katika dimbwi la maji katika barabara iliyopo Konondoni Biafra jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment