HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 8, 2017

SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI PAMOJA NA UJUMBE WA MWENYEKITI WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA NCHINI TANZANIA

 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto)akisalimiana na Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mtungi (kulia) aliemtembelea leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akisisitiza  jambo mbele ya ujumbe wa Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania ukiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania, Mhe. John Shibuda (Kushoto) na kulia ni Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mtungi katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania, Mhe. John Shibuda (Kushoto), pale ujumbe wa Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa ulipomtembelea leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania, Mhe. John Shibuda (Kushoto), Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mtungi (kulia) pale walipomtembelea na ujumbe wa Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania, katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto)akimsikiliza Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mtungi (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma. 
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mtungi (wa pili kulia) akizungumza jambo pale ujumbe wa Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa ukiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania, Mhe.John Shibuda ulipomtembela leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akisaini Cheti cha homa ya Manjano alichokabidhiwa leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akionyesha Cheti cha homa ya Manjano alichokabidhiwa leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Mjini Dodoma.


(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad