HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 19, 2017

MAONESHO YA MPIRA WA MIGUU WA FREE STYLE KUANZA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania ‘Free Style Football’ , Morison Jumanne (wakwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani) juu ya maonesho ya kimataifa ya uchezaji wa mpira wa miguu  unaonza leo  katika maeneo mbalimbali ya wazi na mitaa jijini Dar es Salaam, katikati ni Makamu wa Rais wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania, Pascal Changa na kushoto ni Bingwa wa Dunia  wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu 2012 kutoka nchi ya Japan ,Kotaro Tokuda
 Bingwa wa Dunia  wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu 2012 kutoka nchi ya Japan ,Kotaro Tokuda akizungumza na waandishi wa habari juu ya ziara yake nchini Tanzania  ni kwa ajili ya maonesho ya wazi ya mchezo huo  Mkoa wa Dar es Salaam.
Bingwa wa Dunia  wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu 2012 kutoka nchi ya Japan, Kotaro Tokuda akionyesha umahiri wa mchezo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad