Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Daniel Kidega (wa pili kulia) akipokea zawadi ya picha kutoka kwa Mabalozi wa vijana wanaoiwakilisha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, waliomtembelea ofisini kwake kumuaga, baada ya kumaliza muda wake wa ukongozi katika Bunge la Afrika Mashariki unaofikia ukomo wiki ijayo. Kutoka kushoto ni Reginald saria, Kamala Dickson, Suzane Mollel pamoja na Evas.
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Daniel Kidega (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa vijana wanaoiwakilisha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, waliombelea ofisini kwake kumuaga, baada ya kumaliza muda wake wa ukongozi katika Bunge la Afrika Mashariki. Kutoka kushoto ni Reginald Saria, Kamala Dickson, Suzane Mollel pamoja na Evas.
No comments:
Post a Comment