HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 26, 2017

MABALOZI WA VIJANA EAC WAMUAGA SPIKA KIDEGA

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Daniel Kidega (wa pili kulia) akipokea zawadi ya picha kutoka kwa Mabalozi wa vijana wanaoiwakilisha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, waliomtembelea ofisini kwake kumuaga, baada ya kumaliza muda wake wa ukongozi katika Bunge la Afrika Mashariki unaofikia ukomo wiki ijayo. Kutoka kushoto ni Reginald saria, Kamala Dickson, Suzane Mollel pamoja na Evas.
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Daniel Kidega (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa vijana wanaoiwakilisha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, waliombelea ofisini kwake kumuaga, baada ya kumaliza muda wake wa ukongozi katika Bunge la Afrika Mashariki. Kutoka kushoto ni Reginald Saria, Kamala Dickson, Suzane Mollel pamoja na Evas.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad