HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 7, 2017

LOWASSA AMJULIA HALI MBUNGE WA TARIME VIJIJINI ALIELAZWA MUHIMBILI

Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa leo jumapili Mei 7, 2017 amefika katika hospitali ya taifa Muhimbili kumjulia hali Mbunge wa Jimbo la Tarime vijijini, Mh. John Heche anaeendelea kupatiwa matibabu hospitalini hapo baada ya kuugua alipokuwa Bungeni mjini Dodoma hivi karibuni.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Tarime vijijini, Mh. John Heche anaeendelea kupatiwa matibabu hospitalini hapo baada ya kuugua alipokuwa Bungeni mjini Dodoma hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad