HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 6, 2017

NAIBU SPIKA AKUTANA NA CHAMA CHA WANASHERIA WA TANGANYIKA (TLS) MJINI DODOMA

  Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Mhe.Tundu Lissu  na  ujumbe wake walipomtembelea ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
  Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Mhe.Tundu Lissu  akimueleza jambo Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson alipofika kumtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma pamoja na viongozi wengine wa TLS.
 Makamu wa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Godwin Ngwilima akifafanua jambo Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson alipofika kumtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma pamoja na viongozi wengine wa TLS.
Viongozi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) wakiwa pamoja na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson wakijadiliana masuala mbalimbali viongozi hao walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma.

PICHA NA OFISI YA BUNGE.​

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad