HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 6, 2017

MKUU WA MKOA WA MBEYA AFUNGUA KONGAMANO LA ELIMU MKOA WA MBEYA ...


 - Wadau wa Elimu wapongeza na wamejitokeza kwa Wingi 

- Kongamano labainisha changamoto za elimu na mikakati ya kukabiliana Na changamoto zatajwa
- Lengo la KONGAMANO  ni kuongeza ufaulu na elimu bora katika Elimu YA msingi na sekondari
- Serikali ya Mkoa wakusudia kuanzisha mfuko wa Elimu kwa lengo la kusaidia Vifaa vya Maabara, ununuzi wa vitabu, motisha kwa walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri na kuingiza Umeme mashuleni
- Mkuu wa mkoa aelekeza  wazazi na walezi kuchangia Chakula mashuleni na kushirikiana na serikali ktk ujenzi wa hostel
- Aagiza madai ya walimu yashughulikiwe kuanzia ngazi ya halmashauri kwa Yale ambayo yapo ndani ya uwezo wa halmashauri
- Mkoa umejipangia malengo ya  kuwa Miongoni mwa mikoa KUMI bora kitaifa
 - Maazimio ya kongamano yatakuwa ndiyo dira ya Elimu kimkoa na yataelekezwa katika ngazi zote.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad