HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 10, 2017

TECC - Vijana watakiwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya ujasiriamali

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Ujasiriamali na Ushindani (TECC), Bw. Sosthenes Sambua (katikakati) akizungumzia awamu ya pili ya program ya VIA Jiandalie Ajira ambayo imetangaza fursa za mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 24 kwa manispaa ya Mtwara, Mikindani, Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam, Dodoma na Kibaha mkoani Pwani. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Rais na Kujitegemea (PTF), Bi.Haigath Kitala na kushoto ni Afisa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Ujasiriamali na Ushindani (TECC), Bw. Sosthenes Sambua (wa pili kutoka kulia) akizungumzia awamu ya pili ya program ya VIA Jiandalie Ajira ambayo imetangaza fursa za mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 24 kwa manispaa za Mtwara, Mikindani, Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam, Dodoma na Kibaha mkoani Pwani. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Rais na Kujitegemea (PTF), Bi.Haigath Kitala, wa pili kutoka kushoto ni Afisa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam, na kushoto ni Bi. Zahra Mahmoud,Meneja Biashara wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Wakulima (TCCIA).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad