HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 9, 2017

Taasisi ya Ekama Development yaadhimisha siku ya wanawake wilayani Temeke

KATIKA kusherehekea maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani, TAASISI ya Ekama Development , ilishirikisha wanawake wa wajasiriamali wadogo Wilayani Temeke, katika tamasha lililokuwa na nia ya kuchambua kauli mbiu ya Mwaka huu ya Tanzania ya viwanda, ambapo kulikuwa na mada mbalimbali kama, ajira na mazingira ya kazi na masoko kuelekea Tanzania ya viwanda.
 Sehemu ya wanawake wajasiriamali wadogo Wilayani Temeke, wakiwa na mabango yao katika kuashimisha siku ya Wanawake Duniani, ambayo huadhimisha kila ifikapo Machi 8 ya kila mwaka.
 Sehemu ya wanawake wajasiriamali wadogo Wilayani Temeke, wakiwa katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad