HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 1, 2017

OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAHAMIA RASMI DODOMA

 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora akipokewa na watumishi wa Ofisi yake mjini Dodoma mara baada ya kuwasili katika Ofisi zilizopo `Area D` Dodoma. Kulia ni Bi. Oigenia Mpanduji Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora akisalimiana na Bw. Isaya Kisiri Afisa Ugavi Mwandamizi mara baada ya kuwasili katika Ofisi zilizopo `Area D` Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng. Ngosi Mwihava (kushoto) akiongea na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad