HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 16, 2017

MARAIS WASTAAFU WAWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU SIR GEORGE KAHAMA

 Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Sir George Kaham, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam leo.
 Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamini Mkapa akiwafariji watoto wa Marehemu Sir George Kahama katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Sir George Kaham, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam leo.
 Mjane wa Marehemu Sir Georeg Kahma, Mama Janeth Kahama akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa mumewe, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam leo.
 Waziri wa Habari Sanaa  Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye akiaga Mwili wa Marehemu Sir George Kahama.
 Waziri mkuu Mstaafu, Dk. Salim Ahmed Salim akiaga mwili wa Marehemu Sir George Kahama katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
 Spika Mstaafu wa Bunge , Anna Makinda akitoa pole kwa wanafamilia ya Marehemu Sir George Kahama.
 Kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni , Freeman Mbowe  akiaga mwili wa Marehemu Sir George Kahama katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
Mtoto wa Marehemu Sir George Kahama, akiaga mwili wa baba yake
 Sehemu ya ndugu wa familia wakiaga mwili wa Marehemu Sir George Kahama
 Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasa akitoa pole kwa watoto Marehemu Sir George Kahamakatika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
 Mawaziri wakuu wa Staafu pamoja na wake zao wakiwa katika msiba huo kwa uhuzuni
 Marais Wastaafu na wake zao wakiwa wanatafakari  kabla ya kuaga mwili wa Marehemu Sir George Kahama.
Mawaziri wakuu wastaafu wakitafakari jambo kabla ya kuaga Mwili wa Marehemu Sir George Kahama  katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad