Taarifa iliyotufikia hivi punde, inaelezwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita na anashikiliwa Kituo Kikuu cha Polisi (Central Police) jijini Dar es Salaam. Hadi sasa polisi hawajasema sababu ya kumkamata na kumshikilia Tundu aliekamatwa punde tu baada ya kutoka Mahakama ya Kisutu ambako kesi dhidi yake kuhusu tuhuma za uchochezi ilikuwa imefutwa na mahakama hiyo.
Monday, March 6, 2017
ILIYOTUFIKIA HIZI PUNDE: MBUNGE TUNDU LISSU AKAMATWA NA POLISI MCHANA HUU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment