HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 22, 2017

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, PROF. JUMANNE MAGHEMBE AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI TANZANIA KUZUNGUMZIA KUHUSU MASUALA YA UTALII NCHINI

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na Balozi wa Italia nchini Tanzania,  Reborto Mengoni kuhusu namna ambavyo wawekezaji wa Italia  wanavyoweza kuja  nchini Tanzania kuchangamkia fursa   za Utalii kwa  kujenga hoteli za hadhi ya nyota tano katika mwambao wa Bahari ya Hindi walipokutana leo  jijini Dar es Salaam. Wengine ni Mwambata anayeshughulikia masuala ya utamaduni, Bi. Valeria La Scala ( wa kwanza kulia) na Mwambata anayeshughulikia masuala ya Biashara,  Bi. Michelangela Adamo ( wa pili kulia) ( Picha na Lusungu Helela- Maliasili)
Balozi wa Italia nchini Tanzania,  Reborto Mengoni ( wa kwanza kulia)  akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe ( wa kwanza kushoto)  kuhusu namna ambavyo wawekezaji wa  Italia  wanavyoweza kuja   kuchangamkia fursa   za Utalii kwa  kujenga hoteli za hadhi ya  nyota tano katika mwambao wa Bahari ya Hindi walipokutana leo  jijini Dar es Salaam( Picha na Lusungu Helela- Maliasili)
  Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na Balozi wa Italia nchini Tanzania,  Reborto Mengoni kuhusu namna ambavyo wawekezaji wa Italia  wanavyoweza kuja  nchini Tanzania kuchangamkia fursa   za Utalii kwa  kujenga hoteli za hadhi ya nyota tano katika mwambao wa Bahari ya Hindi walipokutana leo  jijini Dar es Salaam. Wengine ni Mwambata anayeshughulikia masuala ya utamaduni, Bi. Valeria La Scala ( wa kwanza kulia) na Mwambata anayeshughulikia masuala ya Biashara,  Bi. Michelangela Adamo ( wa pili kulia) ( Picha na Lusungu Helela- Maliasili)
 Msemaji  wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania  (TFS) Glory Mziray (kulia) akiwa na Katibu wa Waziri, Ephraimu Mwangomo ( wa pili kulia) wakimsikiliza Balozi wa Italia nchini  Tanzania, Reborto Mengoni  (hayupo pichani) mara baada ya kufanya mazungumzo na Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe kuhusu masuala ya uwekezaji katika sekta ya Utalii kwa  kujenga hoteli za nyota tano katika mwambao wa Bahari ya Hindi walipokutana leo  jijini Dar es Salaam. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mambo kale, Dkt.Fabian Kigadi pamoja na Mwambata anayeshughulikia  masuala ya utamaduni, Bi. Valeria La Scala ( wa kwanza kushoto) ( Picha na Lusungu Helela- Maliasili)
Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Maliasli na Utalii wakiagana na Waambata wa Ubalozi wa Italia  nchini Tanzania walipokutana leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad