HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 17, 2017

WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZA NA MABALOZI KUHUSU UHARIBIFU WA MAZINGIRA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba (katikati) akiongea wakati wa mkutano na na Mabalozi ambao ni Washirika wa Maendeleo. Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais liliko barabara ya Luthuli.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwasilisha mada na kuonyesha picha mbalimbali za uharibifu wa mazingira zilizopigwa wakati wa ziara yake ya mikoa 10 mwaka jana kwa Mabalozi ambao ni Washirika wa Maendeleo ya masuala ya mazingira.
 Sehemu ya Washiriki wa Mkutano huyo ambao ni Mabalozi  wakifuatilia kwa makini  wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwasilisha mada kwenye mkutano huo.
 Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Richard Muyungi (wa pili toka kulia)  akifanunua jambo wakati wa mkutano huo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba wakiongea jambo Mwakilishi wa UN Nchini Tanzania Alvaro Rodriguez baada ya kumaliza mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad