HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, February 25, 2017

TMA yatoa warsha kwa wanahabari juu ya mwelekeo mvua za masika za mwezi Macho hadi Mei 2017

Mkurugenzi Mtendaji wa Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agness Kijazi akizungumza leo kwenye warsha ya wanahabari kuhusu mwelekeo wa msimu wa mvua za masika kwa kipindi cha mwezi Machi hadi Mei 2017. Kushoto Mkurugenzi Huduma za Utabiri TMA, Dk. Hamza Kabelwa.
Mkurugenzi wa TMA, Dk. Agnes Kijazi akiongea pambeni ni sehemu ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa warsha kuhusu mwelekeo wa msimu wa mvua za masika kwa kipindi cha mwezi Machi hadi Mei 2017 iliyofanyika Kibaha, mkoani Pwani.
Sehemu ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa warsha kuhusu mwelekeo wa msimu wa mvua za masika kwa kipindi cha mwezi Machi hadi Mei 2017 iliyofanyika Kibaha, mkoani Pwani.
Mkurugenzi wa TMA, Agnes Kijazi (katikati) waliokaa kwenye viti akiwa katika picha ya pamoja na wanahabari katika Warsha hiyo. Pembeni yake  Kushoto ni Mkurugenzi Huduma za Utabiri TMA, Dk. Hamza Kabelwa na Meneja Kituo Kikuu cha Utabiri Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Samwel Mbuya (kulia).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad