HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 14, 2017

TAASISI YA CSI YAIKABIDHI DMF MSAADA WA MAVAZI YA WATOTO NJITI

Mkurugenzi wa Taasisi ya Childbith Survival International (CSI) Tanzania, Stella Masala Mpanda akikabidhi kwa Mkuu Msaidizi wa Kitengo cha Elimu wa Taasisi ya DMF, Rahma Amood, sehemu ya mavazi maalum ya Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti), makabidhiano yaliyofanyika katika Ofisi za DMF, Victoria jijini Dar es salaam leo. Mavazi hayo yametolewa ikiwa ni msaada kutoka Taasisi hiyo ya CSI inayosaidiana na Serikali katika kupungiza vifo vya wanawake na watoto, kuwafundisha wasichana namna ya kujikwamua kimaisha na mambo mengine mengi ya kijamii. Sehemu ya msaada huo ni pamoja na Kofia za watoto hao, soksi pamoja na pempas.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad