HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 2, 2017

HII NI HATARI: WAYA WA UMEME WAKATIKA KARIAKOO YACHUKUA DAKIKA 40 TANESCO KUFIKA


 Waya wa umeme uliokatika ukiwa unaanza kutoa moshi baada ya kukatika mtaa wa Mchikichi na Msimbazi.


  Gari la Zimamoto likiwa eneo la tukio mtaa wa Mchikichi na Msimbazi baada ya waya wa umeme kukatika na kuanza kutoa moshi na hatimaye moto.

 Askari wa zimamoto wakiwa wanajaribu kuuzima moto huo kabla ya shirika la umeme la Tanesco hawajafika.
 Gari la Shirika la umeme Tanesco likiwasili eneo la tukio mtaa wa Mchikichi na Msimbazi baada ya waya wa umeme kukatika na kuanza kutoa moshi na hatimaye moto.

Wafanyakazi wa Shirika la Umeme la Tanesco wakiwa wanajadiliana na askari wa zimazoto baada ya kufika eneo la tukio na kuzima umeme.
Picha zote na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad