HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 1, 2017

Hii ndio ratiba ya raundi ya tano ya kombe la FA

Ratiba ya raundi ya tano ya kombe la FA imetoka huku bahati kubwa wakionekana kuipata timu ya Sutton United ambayo imepangiwa kucheza na Arsenal. Sutton hiyo ndio itakuwa mechi yao kubwa zaidi kuicheza katika historia ya timu hiyo.

Hii ndio ratiba kamili ya FA Cup.

Burnley v Lincoln City
Fulham v Tottenham
Blackburn Rovers v Manchester United
Sutton United v Arsenal
Middlesbrough v Oxford United
Wolves v Chelsea
Huddersfield v Manchester City
Millwall v Derby County or Leicester City

Mechi hizo zitachezwa February 17 na February 20.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad