Meneja wa DAWASCO Mkoa wa Ilala, Christian Kaoneka pamoja na fundi kutoka DAWASCO wakibadilisha
mita ya Maji chakavu ya mteja kutoka maneneo ya Mtaa wa Jamhuri jijini Dar es Salaam ikiwa ni katika
mwendelezo wa Zoezi la ubadilishaji wa mita za Maji chakavu zote kwa jiji la Dar es Salaam na Miji ya
Kibaha na Bagamoyo Mkoani wa Pwani.
Wednesday, February 1, 2017
Dawasco yaendelea na Zoezi la Ubadilishaji Mita za Maji chakavu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment