HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 20, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA KWENYE UWANJA WA MABEWANI MJINI MAKETE

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Mabewani mjini Makete, januari 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Ujuni wilayani Makete walioziba barabara wakitaka asimame kuwasalimia Januari 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ndama waliokuwa wakinyweshwa maziwa wakati alipotembelea shamba la ng’ombe la Kitulu wialayani Makete Januari 20, 2017. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad