HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 24, 2017

WAKINAMAMA WA KIKUNDI CHA 2SEEDS WAJIKWAMUA KIMAENDELEO CHINI YA VODACOM TANZANIA FOUNDATION

Mratibu wa kikundi cha 2Seeds cha kijiji cha Tabora Wilaya ya Korogwe Tanga, Moshi Abdallah(kushoto) akimuonyesha mradi wa kilimo cha mboga Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald, wakati alipotembelea hivi karibuni kujionea maendeleo ya miradi mbalimbali ya ujasiriamali ,ufugaji,kilimo, inayofanywa na kikundi hicho kilichofadhiliwa na mfuko wa kusaidia jamii”Vodacom Tanzania Foundation” kwa kushirikiana na shirika lisilo la Kiserikali la 2Seeds Network la nchini Marekani. 
Wakinamama wa kikundi cha 2Seeds, wa kijiji cha Tabora Wilaya ya Korogwe Tanga,wakishirikiana na Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra Oswald (wapili kulia) kumenya viazi wakati alipotembelea kikundi hicho hivi karibuni kujionea maendeleo ya miradi mbalimbali ya ujasiliamali,ufugaji, Kilimo,inayofanywa na kikundi hicho na kufadhiliwa na mfuko wa kusaidia jamii”Vodacom Tanzania Foundation” kwa kushirikiana na shirika lisilo la Kiserikali la 2Seeds Network la nchini Marekani.
Mwenyekiti wa kikundi cha 2Seeds cha kijiji cha Tabora Korogwe Tanga,Asha Rajab(wapili kushoto) akimuonyesha Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald ( kushoto) moja ya mifuko yenye embe zilizotengenezwa kitalaam na kuhifadhiwa kwenye mifuko maalumu tayari kwa kuuzwa sokoni,wakati alipotembelea Kikundi hicho hicho hivi karibuni kujionea maendeleo ya miradi mbalimbali ya ujasiriamali ,ufugaji,kilimo, inayofanywa na kikundi hichokilichofadhiliwa na mfuko wa kusaidia jamii”Vodacom Tanzania Foundation” kwa kushirikiana na shirika lisilo la Kiserikali la 2Seeds Network la nchini Marekani.
Bibi Masoko wa kikundi cha 2 Seeds cha kijiji cha Tabora Wilaya ya Korogwe Tanga ,Mariam Jecha (wapili kulia) akimfafanulia jambo hivi karibuni,Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald (Kushoto) kuhusiana na jiko la kisasa la kukaangia chips za viazi na mihogo zinazozalishwa na kikundi hicho baada ya kupata mafunzo ya ujasiliamali kutoka kwenye taasisi isiyo ya kiserikali ya 2Seeds ya nchini Marekani yenye makazi yake makuu Wilayani humo, Mradi huo umefadhiliwa na na mfuko wa kusaidia jamii”Vodacom Tanzania Foundation”
004.Moshi Abdallah na Monica Ayubu wa kikundi cha 2Seeds cha kijiji cha Tabora Wilaya ya Korogwe Tanga,wakimshuhudia Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald,(kulia) akiangalia ubora wa vyakula vinavyosindikwa na kikundi hicho, wakati alipotembelea hivi karibuni kujionea maendeleo ya miradi mbalimbali ya ujasiriamali ,ufugaji,kilimo, inayofanywa na kikundi hicho kilichofadhiliwa na mfuko wa kusaidia jamii”Vodacom Tanzania Foundation” kwa kushirikiana na shirika lisilo la Kiserikali la 2Seeds Network la nchini Marekani.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad